Friday, 24 October 2014

ENGUTOTO HIGH SCHOOL KITOVU CHA KITAALUMA KATIKA MKOA WA ARUSHA

Shule ya sekondari engutoto iliyopo mkoani arusha katika wilaya ya monduli imetajwa kuwa moja ya vitovu vya kitaaluma katika mkoa huo kutokana na mfululizo wa matokeo mazuri katka shule hiyo

Hayo yamesemwa na moja kati ya wadau wakubwa wa shule hiyo KISA PROJECT katika hafla fupi iliyofanyika shuleni hapo siku ya ijumaa ya tar 24 shuleni hapo

No comments:

Post a Comment