Friday, 24 October 2014

ENGUTOTO SECONDARY YAWAPIGISHA KWATA WAJESHI WA T.M.A

Timu ya soka ya engutoto imefanikiwa kuichapa kwa mabao matatu kwa bila timu ya soka ya T.M.A katika mchezo wa kirafiki uliofanyika shuleni hapo jioni hii

 mabao ya ENGUTOTO yaliwekwa kimiani na mshambuliaji wao hodari Chendwa Isaya na Mwalimu Khamis huku mabao yote yakitengenezwa na kiungo mshambuliaaji John Sandu

Kikosi cha engutot leo hii kilikua
1;Manyonyi Matofali
2;Peter Mwanza
3;Novatus
4;Richard John
5;Musa msape
6;Edom Minja
7;Mwalimu Khamis
8;Master Makundi
9;Chendwa Isaya
10;John Sandu
11;Darl Darlius

 Kwa niaba ya familia ya wana ENGUTOTO tunasema

HONGERENIIIIIIIIIIIII

No comments:

Post a Comment