Makamu mkuu wa shule ya sekondari ENGUTOTO Ndg William Walter akifafanua jambo wakati wa hafla fupi iliyofanyika shuleni hapa ambayo ililenga kufanya mapinduzi ya kitaaluma shuleni hapa
katika hafla hiyo mambo mengi yaliafikiwa ikiwemo la kuhakikisha ENGUTOTO inabaki katika ramani ya juu kabisa kitaaluma katika mkoa wa arusha na taifa kwa ujumla
Habari na Picha na mwandishi wetu Stephano Mahelu
No comments:
Post a Comment