Ile mechi kali ya wakali wa shule ya sekondari ENGUTOTO yaani kidato cha Tano na kile cha Sita inatarajia kupigwa leo shuleni Engutoto
Mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani wa hali ya juu unatarajia kuanza majira ya saa kumi na nusu jioni ambapo wadau mbali mbali wa soka shuleni hapa wanawapa kidato cha tano nafasi ya kushinda
akizungumza mbele ya waandishi wa blog hii mwalimu wa michezo shuleni hapa Richard Ngoda alisema ''kidato cha tano wanaonekana kuimarika sana kuliko kidato cha sita na hivyo nawapa nafasi ya kushinda tena kwa kishindo'' aidha kwa upande wao wachezaji kidato cha sita wamekiri kuwa na hofu sana na mechi hii tofauti kabisa na wenzao kidato cha tano
habari na mwandishi wetu Pasco Nkololo & Malogi Kusekwa
ENGUTOTO HIGH SCHOOL P.O.BOX 143,Monduli,Arusha Tel; +255 754 205 853, +255 754 859 146 EDUCATION FOR WISDOM
Friday, 14 November 2014
Friday, 7 November 2014
MITIHANI YAKARIBIA SHULENI ENGUTOTO HUKU MAANDILIZI YAKIZIDI KUPAMBA MOTO
Mitihani ya kufunga shule imekaribia kuanza shuleni ENGUTOTO huku maandalizi yakionekana kuzidi kupamba moto shuleni hapa
wanafunzi wa vidato vyote wameonekana wakiwa bize na maandalizi hayo huku kukishuhudia utulivyo wa hali ya juu kabisa shuleni hapa mwandri nau haba wa masomo mbali mbali shuleni hapa wamedai wanategemea ufaulu wa hali ya juu kabisa kama ilivyo desturi ya ENGUTOTO
wanafunzi wa vidato vyote wameonekana wakiwa bize na maandalizi hayo huku kukishuhudia utulivyo wa hali ya juu kabisa shuleni hapa mwandri nau haba wa masomo mbali mbali shuleni hapa wamedai wanategemea ufaulu wa hali ya juu kabisa kama ilivyo desturi ya ENGUTOTO
picha & habari na Amma Taka (mwandishi wetu}
UTUNZAJI WA MAZINGIRA SHULENI ENGUTOTO
Wanafunzi wa shule yA sekondari ENGUTOTO katika moja ya shughuli za uhifadhi mazingira hapa
picha na mwandishi wetu Pasco Nkololo
Friday, 31 October 2014
ENGUTOTO SECONDARY SCHOOL
Engutoto secondary ni shule inayopatikana katika mkoa wa arusha ,wilaya ya monduli
shule hii inafahamika kote Tanzania kutokana na historia nzuri iliyonayo
shule hii ni ya kutwa na bweni na ya mchanganyiko wavulana na wasichana Mwalimu mkuu wa shule hii anaitwa LOMAYANI SAILEPU akisaidiana na makamu mkuu wa shule hii bw WILLIAM WALTER shule ina wanafunzi wa O-LEVEL na wale wa A-LEVEL kwa michepuo ya HKL,HGL,na HGK kwa kifupi ni kwamba shule imekua na mfululizo wa matokeo mazuri kwa mitihani ya taifa kwa miaka mingi mfululizo na hivyo kuzidi kuwa chachu ya maendeleo katika mkoa wa arusha na taifa kwa ujumla
Habari na mwandishi Pasco Nkololo
shule hii inafahamika kote Tanzania kutokana na historia nzuri iliyonayo
shule hii ni ya kutwa na bweni na ya mchanganyiko wavulana na wasichana Mwalimu mkuu wa shule hii anaitwa LOMAYANI SAILEPU akisaidiana na makamu mkuu wa shule hii bw WILLIAM WALTER shule ina wanafunzi wa O-LEVEL na wale wa A-LEVEL kwa michepuo ya HKL,HGL,na HGK kwa kifupi ni kwamba shule imekua na mfululizo wa matokeo mazuri kwa mitihani ya taifa kwa miaka mingi mfululizo na hivyo kuzidi kuwa chachu ya maendeleo katika mkoa wa arusha na taifa kwa ujumla
Habari na mwandishi Pasco Nkololo
Sunday, 26 October 2014
TUMEDHAMIRIA KUSHIKA HATAMU KITAALUMA
Makamu mkuu wa shule ya sekondari ENGUTOTO Ndg William Walter akifafanua jambo wakati wa hafla fupi iliyofanyika shuleni hapa ambayo ililenga kufanya mapinduzi ya kitaaluma shuleni hapa
katika hafla hiyo mambo mengi yaliafikiwa ikiwemo la kuhakikisha ENGUTOTO inabaki katika ramani ya juu kabisa kitaaluma katika mkoa wa arusha na taifa kwa ujumla
Habari na Picha na mwandishi wetu Stephano Mahelu
katika hafla hiyo mambo mengi yaliafikiwa ikiwemo la kuhakikisha ENGUTOTO inabaki katika ramani ya juu kabisa kitaaluma katika mkoa wa arusha na taifa kwa ujumla
Habari na Picha na mwandishi wetu Stephano Mahelu
Official;Engutoto secondary school yazindua blog yake
Shule ya sekondari ENGUTOTO imezindua rasmi blog yake ambayo itawasaidia walezi na wazazi wa wanafunzi wake kujua mambo mbali mbali yanayofanyika shuleni hapa mambo hayo ni pamoja na
-Habari mbali mbali kuhusu ENGUTOTO
-Matokeo ya mitihani (examinations results)
-picha na video mbali mbali
-forms za kujiunga na engutoto (joining instructions)
-na mengine mengi yahusuyo ENGUTOTO
Blog hiyo ambayo imetengenezwa na mwanafunzi PASCO NKOLOLO inatarajiwa kuwa chachu kubwa ya maendeleo katika shule hii hivyo ni rai kwa wanajamii wa ENGUTOTO SECONDARY kuzidi kuunga mkono jitihada za shule hii ili izidi kuwa mfano popote tanzania
-Habari mbali mbali kuhusu ENGUTOTO
-Matokeo ya mitihani (examinations results)
-picha na video mbali mbali
-forms za kujiunga na engutoto (joining instructions)
-na mengine mengi yahusuyo ENGUTOTO
Blog hiyo ambayo imetengenezwa na mwanafunzi PASCO NKOLOLO inatarajiwa kuwa chachu kubwa ya maendeleo katika shule hii hivyo ni rai kwa wanajamii wa ENGUTOTO SECONDARY kuzidi kuunga mkono jitihada za shule hii ili izidi kuwa mfano popote tanzania
Saturday, 25 October 2014
EXCLUSIVE; RATIBA MTIHANI WA ANNUAL NA TERMINAL HEWANI
Ratiba ya mtihani kwa vidato vya tano,tatu,na kile cha kwanza imetolewa rasmi na ofisi ya taaluma shule ya sekondari ENGUTOTO.
Mitihani inategemea kuanza rasmi tarehe 17/11/2014 kwa vidato tajwa.Pia unategemea kumalizika tarehe 22/11/2014 ambayo ni tarehe rasmi kwa kidato cha sita kuanza mtihani wao wa Mock.
Mwalimu mkuu wa taaluma shuleni hapa bw.Nathanael Mungule alisema ofisi ya taaluma na shule nzima kwa ujumla wanategemea ufaulu wa hali ya juu katika mitihani hiyo kama ilivyo desturi ya ENGUTOTO SECONDARY
''all we need is you to have aattractive and best perfomance as ussual'' alisema
na kwa upande wao wanafunzi wa kidato cha tano shuleni hapa wameahidi kufanya vema ktk mitihani hiyo
Mitihani inategemea kuanza rasmi tarehe 17/11/2014 kwa vidato tajwa.Pia unategemea kumalizika tarehe 22/11/2014 ambayo ni tarehe rasmi kwa kidato cha sita kuanza mtihani wao wa Mock.
Mwalimu mkuu wa taaluma shuleni hapa bw.Nathanael Mungule alisema ofisi ya taaluma na shule nzima kwa ujumla wanategemea ufaulu wa hali ya juu katika mitihani hiyo kama ilivyo desturi ya ENGUTOTO SECONDARY
''all we need is you to have aattractive and best perfomance as ussual'' alisema
na kwa upande wao wanafunzi wa kidato cha tano shuleni hapa wameahidi kufanya vema ktk mitihani hiyo
Friday, 24 October 2014
ENGUTOTO SECONDARY YAWAPIGISHA KWATA WAJESHI WA T.M.A
Timu ya soka ya engutoto imefanikiwa kuichapa kwa mabao matatu kwa bila timu ya soka ya T.M.A katika mchezo wa kirafiki uliofanyika shuleni hapo jioni hii
mabao ya ENGUTOTO yaliwekwa kimiani na mshambuliaji wao hodari Chendwa Isaya na Mwalimu Khamis huku mabao yote yakitengenezwa na kiungo mshambuliaaji John Sandu
Kikosi cha engutot leo hii kilikua
1;Manyonyi Matofali
2;Peter Mwanza
3;Novatus
4;Richard John
5;Musa msape
6;Edom Minja
7;Mwalimu Khamis
8;Master Makundi
9;Chendwa Isaya
10;John Sandu
11;Darl Darlius
Kwa niaba ya familia ya wana ENGUTOTO tunasema
HONGERENIIIIIIIIIIIII
mabao ya ENGUTOTO yaliwekwa kimiani na mshambuliaji wao hodari Chendwa Isaya na Mwalimu Khamis huku mabao yote yakitengenezwa na kiungo mshambuliaaji John Sandu
Kikosi cha engutot leo hii kilikua
1;Manyonyi Matofali
2;Peter Mwanza
3;Novatus
4;Richard John
5;Musa msape
6;Edom Minja
7;Mwalimu Khamis
8;Master Makundi
9;Chendwa Isaya
10;John Sandu
11;Darl Darlius
Kwa niaba ya familia ya wana ENGUTOTO tunasema
HONGERENIIIIIIIIIIIII
ENGUTOTO HIGH SCHOOL KITOVU CHA KITAALUMA KATIKA MKOA WA ARUSHA
Shule ya sekondari engutoto iliyopo mkoani arusha katika wilaya ya monduli imetajwa kuwa moja ya vitovu vya kitaaluma katika mkoa huo kutokana na mfululizo wa matokeo mazuri katka shule hiyo
Hayo yamesemwa na moja kati ya wadau wakubwa wa shule hiyo KISA PROJECT katika hafla fupi iliyofanyika shuleni hapo siku ya ijumaa ya tar 24 shuleni hapo
Hayo yamesemwa na moja kati ya wadau wakubwa wa shule hiyo KISA PROJECT katika hafla fupi iliyofanyika shuleni hapo siku ya ijumaa ya tar 24 shuleni hapo
HELLOW ENGUTOTO HIGH SCHOOL
Hellow engutoto high school.this is our new blogg.this blogg tells about how Engutoto High school is,it's location, description and other more concerned with youth around Engutoto High school.
Subscribe to:
Posts (Atom)